Canalblog
Editer l'article Suivre ce blog Administration + Créer mon blog
Publicité
RESISTANTS PATRIOTES CONGOLAIS DE FRANCE OU RPC F
25 août 2012

DECLARATION DE L'INDEPENDANCE DE LA REPUBLIQUE UNIE DU KIVU

 

VOICI LES LIENS DU SITE SUR LA PARTITION DU CONGO KINSHASA

 VOICI LES SITES SUR LA DECLARATION DE L'INDEPENDANCE DE LA REPUBLIQUE UNIE DU KIVU.

http://www.africafederation.net/

 

http://www.africafederation.net/Kivu.htm

 

 

Objet : BIENTÔT PEUT ETRE UN NOUVEAU PAYS

>

             
   

                                                                                                             

   

>

   
   

        

   

Jamhuri ya Muungano wa KivuKaribu kwenye     huduma ya kituo cha kiulimwengu cha Web cha
    > Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu

   

Kituo cha Web     cha Jamhuri ya Muungano wa Kivu, kinatoa nafasi ya kupata habari za taifa     lake la Kivu, Raia wake, muungo wake na pia habari zingine zozote, kwa     ujumla, zinazohusika na inchi hiyo ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu.

   

>

   

United Republic of Kivu
    > Welcome to the Government of United Republic     of Kivu
    > World Wide Web Service

   

The United Republic of Kivu World Wide Web     Services provides public access to information about the Nation of Kivu,     its People, Organizations and general information of the Country.

   

National Name: United Republic of Kivu / Jamhuri ya Muungano wa Kivu

>

President: :……

>

Prime Minister: ..…

>

Population: 7.649.000

>

Area: 256,803 sq km   (Larger than the UK 242,900 sq km)

>

Major languages: Swahili (official Governmental), Amba, Bemba, Bembe, Bhele, Buyu, Fuliiru, Havu, Hunde, Joba, Kabwari, Kanu, Komo, Kwami, Lega-Mwenga,   Lega-Shabunda, Mvuba, Nande, Nyanga, Nyindu, Rwanda, Shi, Songa, Swahili,   Talinga-Bwisi, Tembo; are the National   languages of the United Republic of Kivu.

>

The Official Government Languages are Swahili and   English being the official commercial language of the Republic for trade and   international relations.

>

Life expectancy: 60 years (men), 65 years (women)

>

Main exports: Gold,Copper, Cassiterite, Coffee, Cobalt, Precious wood, Palm   Oil, Crude Oil.

>

GNI per capita: US $120

>

International dialling code (provisional): +243

>

Capital and largest city: Bukavu

>

Other large cities: Goma, Beni, Kindu, Lubero, Rutshuru, Masisi, Walikale, Lubutu, Punia,   Kasongo, Kabambare, Fizi, Uvira, Mwenga, Walungu, Kalehe, Bugarura, Shabunda,   Pangi, Kibombo, Kabare

>

Monetary unit: 1 Panda = 100 cents

>

Major religions: African Spirituality andChristianity

>

Literacy rate: 66%

>

Economic summary: GDP/PPP $6.37 billion; per capita $800.

>

Real growth rate: 6.5%. Inflation: 9% (2004 est.).

>

Unemployment: n.a.

>

Arable land: 3%.

>

Agriculture: coffee, sugar, palm oil, rubber, tea, quinine, cassava (tapioca),   bananas, root crops, corn, fruits; wood products. Pyrethrum, Native Beans,   Manioc, Taro, Sorghum, Millet, Sweet Potatoes, Bulrush, Lima beans, Soy   Beans, Peanuts, Castor Oil, Squash, etc…

>

Labour force: n.a.

>

Industries: mining (Gold, Cassiterite, copper, zinc), mineral processing, consumer   products (including textiles, footwear, cigarettes, processed foods and   beverages including beer), cement, commercial ship repair.

>

Natural resources: cobalt, copper, cadmium, petroleum, gold, silver, zinc, manganese, tin,   germanium, bauxite, iron ore, coal, hydropower, timber.

>

Exports: $308 billion f.o.b. (2004 est.):, copper, crude oil, coffee, cobalt.

>

Imports: $519 billion f.o.b. (2004 est.): foodstuffs, mining and other machinery,   transport equipment, fuels.

>

Major trading partners: Belgium, Finland, U.S., South Africa, France, Zambia, Kenya, Germany (2004).

>

Communications: Telephones: main lines in use: 2,000 (2002); mobile cellular: 500.000   (2003). Radio broadcast stations: AM 1, FM 4, shortwave 1 (2001). Television   broadcast stations: 1 (2001).

>

Internet hosts: 45 (2003). Internet users: 5,000 (2002).

>

Transportation: Highways: total: 27,000 km; paved: n.a. unpaved: n.a. (1999 est.).   Waterways: 1,300 km (2004).

>

Ports and harbors: Bukavu, Goma, Kindu and Kalundu.

>

Airports: 26 (2007).

>

    

KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA KIVU
  >
Jamhuri ya Muungano wa Kivu inakubaliana na vipengele vya thamani vya   Katiba ya Kidemokrasia.

HAKI ZA KIBINAADAMU
  > - Kuishi
  > - Uhuru
  > - Uhuru katika kupasha habari
  > - Uhuru wa kuhutubia, kusema

>

SHERIA
  > - Kutolewa au kutekelezwa kwa Sheria
  > - Kulindwa na unyanyaso wa kutafutwa, na kunyanganywa mali
  > - Utawala wa Sheria
  > - Haki ya kuharikisha mashtaki ya Koti la Serikali na kuikomboa   (remplacer) kwa njia ya kusambishwa na Raia wateule

>

WEMA KWA WOTE
  > - Kutoa Usalama na Ulinzi
  > - Kutoa mambo mema ya ujamii kwa wote

>

SERIKALI KIKATIBA
  > - Haki ya jumla ya wengi kutoa maamzi katika siasa
  > - Kuheshimu Utofauti
  > - Sheria inalinda usawasawa wa raia wote bila upendeleo
  > - Misaada ya ujamii inatolewa sawasawa kwa raia wote bila upendeleo
  > - Haki za kuenda kwenye uchaguzi na kugombania Kiti au cheo
  > - Usawasawa wa raia wote katika kuomba kazi
  > - Usawasawa wa raia wote kuhusu makao na nyumba

>

Jamhuri ya Muungano wa Kivu ni matunda ya siku nyingi ya mateso ya Watu   wa Kivu kwa ajili ya ukombozi na Uhuru Mkuu wa Taifa na pia ulinzi wa mipaka   za masultani wa kiasili wa makabila yake, na uhifadhi wa upekee wa mila yao,   umoja wa historia yao, umoja wa Asili zao, na umoja wa Lugha yao ya   Kiswahili.

>

Wanaonesha waziwazi nia yao ya kuishi kama watu huru, Wanazingatia haki   yao na msimamo wao wa kutaka kuongoza na kuendesha mambo yao wenyewe.

>

Watu wa Kivu wanatambua umuhimu wa kufikilia kuendesha uchumi na   maendeleo yao na kusimika Taifa lenye uhaki, wanaamua kukubaliana kutumia   Katiba ifwaytayo:

>

KIPENGELE 4.- Amba, Bemba, Bembe, Bhele, Buyu, Fuliiru, Havu, Hunde,   Joba, Kabwari, Kanu, Komo, Kwami, Lega-Mwenga, Lega-Shabunda, Mvuba, Nande,   Nyanga, Nyindu, Rwanda, Shi, Songa, Swahili, Talinga-Bwisi, Tembo; ndizo   lugha za kitaifa za Jamhuri ya Muungano wa Kivu.

>

KIPENGELE 38.- Raisi wa Jamhuri ndiye Kichwa cha Taifa na Kamanda Mkuu wa   Majeshi, ila si Kamanda wa Polisi ya Taifa, kwa kuwa Polisi ni kiungo huru   mbali na Serikali.

>

Jukumu kuu la Raisi ni kuchunga utekekezaji wa Katiba (Constitution) na   umoja wa Taifa nzima, na kuhakikisha Kivu nzima ina vifaa vyote vya   kujipigania na kulinda Raia wake.

>

KIPENGELE 86.- Mamlaka ya Asili ya Mila (Kutoka kwa mababu): Mamlaka ya   Asili ya Mila yanatambuliwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu,   kufuatana na Asili za mahali, ikiwa hazitapingana na Katiba ya Umoja, Sheria   zake, Usalama wa Raia, vifungo vya Haki za kibinaadamu, na misingi ya uhuru.   Kila Sultani anaalikwa kushiriki ndani ya uongozi mzuri wa Taifa na anaalikwa   kupata Kiti katika Baraza kuu la Watambo (Masultani) wa Muungano wa Kivu.

>

Baraza Kuu la Watambo wa Muungano wa Kivu ni chumba kikuu cha Bunge la   Jamhuri ya Muungano wa Kivu, ambalo laitwa kwa kawaida “Baraza Kuuâ€�. Raisi wa Jamhuri,   Baraza la Wabunge na Baraza Kuu pamoja, vyaunda Ubunge wa Kivu. Viti vya   Baraza Kuu ni kimoja kwa kila usultani, Vinaongezwa na viti vingine 12 vya   ziada (Extra) vinavyopewa kwa watu Waheshimiwa Wazaliwa wa Kivu ambao   walitambuliwa kuwa wamefanya mambo mengi mazuri kwa Taifa la Jamhuri ya   Muungano wa Kivu.

>

Viti vya Baraza la Wabunge (Chumba Kidogo) vyachukuliwa na Raia wa inchi   walioteuliwa katika uchaguzi Mkuu huru wa kidemokrasia kwa jumla.

>

Cheo kamili rasmi cha Baraza Kuu ni “Waheshimiwa wakuu Masultani   kiasili na wa muda wa Jamhuri ya Muungano wa Kivu wakiwa wa Baraza la Bunge.

>

Cheo kamili na rasmi cha wanamemba wa Baraza Kuu ni Waheshimiwa Wakuu X   wa Y. Kwa mfano: Mwami Mopipi wa Shabunda. Ni kusema X=Mwami Mopipi, Y=Wa   Shabunda.

>

Watambo ambao ni Washauri wa kipekee (Privy Counsellors) watapewa cheo   chao kama WW. Washauri wa kipekee wote wanapewa cheo chao “Waheshimiwa   Wakuuâ€�.

>

KIAPO CHA WABUNGE

“Mimi..., naapa kwa Mungu Mwenyezi kuwa nitaiheshimu Katiba ya Jamhuri   wa Muungano wa Kivu na kumuomba Mungu anisaidie na kuniongoza kwenye Katiba   hii kwa kuilinda. Nitajitoa kwa nguvu zangu zote kutimiliza mapenzi ya watu   walio na kiu cha uhuru, walio na kiu cha kujitawala na kiu cha uhaki.   Nitalinda Haki na Uhuru wa Raia wote. Nitafunika na kuhifadhi umoja wa Udongo   wa Kivu. Nitatumikia Maendeleo na Uheri wa watu wa Kivu, kupigania na kuinua   thamani ya mila zao tukufu za Taifa la Kivu, Mungu, uwe Shahidi wanguâ€�.

>

    

WIMBO WA TAIFA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA   KIVU

Eh Kivu Tukufu!
  > Nina heri kuwa Raia wako

Uzuri wa Ardhi   yako, Ziwa zako,
  > Milima yako, na Mito yako
  > Siku zote vyanilisha na Furaha
  > Na Matumaini

Eh Kivu wewe u   Mzazi
  > Watoto wako, Watukufu
  > Umoja wako ni siri ya Nguvu zako
  > Watu wako wanakupenda
  > Wataendelea kukutetea

Raia wa Kivu
  > Uhusiano kati yetu
  > Wabaki mwema daima
  > Ushirika kati yetu
  > Watufanikisha daima
  > Upendo na Umoja kati yetu
  > Daima tutashinda adui zetu

Eh Kivu wastahili Amani!

    

WITO MKUU KWA KILA MWANAUME NA MWANAMKE   MTOTO WA KIVU KUJIUNGA NASI KATIKA KUPIGANA VITA

Kivu iliyodhulumiwa, Kivu iliyovunjwa, Kivu iliyokuwa katika dhiki,   lakini sasa Kivu ni huru. Ilijikomboa yenyewe, ilikombolewa na Raia wake. Kwa   msaada wa kila Mtoto wa Kivu, kwa njia ya Mkivu yeyote mpigana vita. Kivu ya   kweli, Kivu isyozimika.
  >
  > Mimi Elie-Desire Atawale, nasema saa hii nikiwa hapa ndani ya inchi ya   Kivu, nawaalika ninyi wanaume na wanawake wote wa Kivu, ninyi mulio hapa   kwenye udongo wa asili wa Kivu, na ninyi mulio nje ya Kivu, njoni mujiunge   nasi.
  >
  > Haidhuru yanayoweza kutokea, mwali wa moto wa upinzani wa Kivu   hautazimika.
  >
  > Kwa niaba ya Kivu nayafanya matangazo rasmi haya:
  > Ni wajibu wa roho ya kitaifa, kwa kila Mtoto wa Kivu kuchukua silaha na   kuendeleza harakati za ukombozi wa Taifa letu.
  >
  > Maana kushusha silaha chini au kutoroka kampi muhimu ya kijeshi, au   kukubaliana kuipana sehemu yoyote ya udongo wa Kivu, au kutoa kitu chochote   hata kingekua kidogo, na kukubali kiwe chini ya utawala wa Adui wetu RDC, ni   usaliti na dhambi kubwa zidi ya Taifa letu.
  >
  > Ninawatangazia Watoto wote wa Kivu, njoni mujiunge nami, tuizunguke   Serikali yetu mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Kivu, ambayo tu ndilo jukua la   pekee linalounganisha Taifa la Kivu, na tuendelee na harakati zetu za vita   zidi ya Adui Mshambulizi wetu RDC.
  >
  > Ninyi wanajeshi wote wa Kivu, Simameni!
  >
  > Uvamizi wa RDC juu ya Inchi yetu umewafanya Raia wetu kushushwa sana kwa   kiwango cha nusu-mutu na kutufanya kuwa chombo cha Utumwa.
  >
  > Tangu leo watoto wa Kivu wamekataa kukubali uvamizi haramu wa majeshi na   utumwa wa RDC kwa sababu zifuatazo:
  >
  > Heshima, Kusudi la umoja, na Faida za Taifa la Kivu.
  >
  > Kusudi la umoja, kwa kuwa ni upumbafu kukubali kuwa nguvu zetu hazifai.
  >
  > Kwa Faida za Taifa la Kivu, ilikuwa vema vita ifanyike na iwe tu hiyo   vita moja kama ilivyokusudiwa
  >
  > Mwisho wa vita hii utaonyesha nguvu za Uhuru zimeshinda hizo nguvu za   Utumwa.
  >
  > Heshima, Kusudi la Umoja na faida za Taifa la Kivu vyaagiza ya kwamba ni   lazima kila Mtoto wa Kivu aendelee na vita kwa njia iliyo bora zaidi.
  >
  > Ni lazima kukusanya zaidi nguvu ya watoto wa kivu iliyo kuu kupita kama   iwezekanavyo.
  >
  > Ninawaalika Watoto wa Kivu wote waliyo katika ukimbizi, na wale   wanaopatikana katika inchi za kigeni, walioko Ulaya na katika sehemu nyigine   zote za dunia, warudi Kivu na wajiunge nami.
  >
  > Hakuna upendo mwingine mkuu kwa Mtoto wa Kivu kama upendo wa Kiraia,   Upendo wa Taifa la Kivu.
  >
  > Ninawaaalika Wasomi wote wototo wa Kivu wajiunge nami, na iwe njia ya   kutumia maarifa yenu kwa manufaa na faida za Taifa, na wana wetu, siku   zinazokuja watatushukuru.
  >
  > Njia yoyote ambayo yawezakuwa na uwezo wa kijeshi na utowaji wa silaha,   lazima itunzwe vema popte pale ilipo.
  >
  > Ninawaalika Watoto wote wa Kivu wote walio na shauku ya kupata uhuru   waisikilize sauti yangu na wanifuate.
  >
  > Ni jambo la ukweli lililo wazi kuwa sisi tunadhulumiwa na kuteswa na   Majeshi Adui zetu ya RDC. Lakini, je, hilo laweza kuwa neno la mwisho   lililosemwa? Je, tupoteze matumaini yote? Je, huko kuvamia udongo wetu   kiharamu na RDC, ni mwisho wa mambo ambayo hayawezi kupinduliwa?
  >
  > Kwa maswali haya yote, jibu langu ni, HAPANA
  >
  > Nikiwa na maarifa ya mambo haya, nawaambieni, Kivu itapata ushindi   katika vita vyake. Yale yaliyosababisha uvamizi wa inchi yetu ni yaleyale   mambo ambayo, sasa, lazima yatuongoze katika ushindi.
  >
  > Watoto wa Kivu, jueni haya, Kivu haiendi peke yake, Kivu haitengwi na   ulimwengu.
  >
  > Tayari Kivu iko huru kwenye nyanja za mataifa mengine na hata haya   mataifa mengine yanatutambua na kutukubali, sababu sisi nasi tupo tayari   sehemu ya jamii kama mataifa mengine huru kwenye uso wa dunia.
  >
  > Shirika la mataifa yote ulimwenguni na viungo vya maserikali ya kigeni   wapo tayari kwa kuisaidia Kivu ichukue Uhuru wake, wakitambua bidii na kujitolea   kwa raia wa Kivu anavyochukua silaha kwa kupigania Uhuru wake, Uhuru wa watu   wake, Uhuru wa ufanisi wa jamaa lake na wa wazazi wake.
  >
  > Nyuma ya uwezo wenye nguvu wa upinzani wa Kivu, kuna Milki au utawala   mkubwa, na Kivu inaungana na Milki hii kwa ajili ya faida ya umoja.
  >
  > Enyi Watoto wa Kivu, njoni mujiunge nami. Tutawaongoza katika njia   itakayotuelekeza kwenye Ukombozi.
  >
  > Kivu iishi milele! Kivu iishi huru katika Heshima na Kujitegemea

KIVU CITIZENSHIP   OATH AND PLEDGE

The form of citizenship oath and pledge is as   follows for registration of or naturalisation as a Kivu citizen:

>

OATH

"I, [name], swear by Almighty God that, on   becoming a Kivu citizen, I will be faithful and bear true allegiance to the   United Republic of Kivu, and its legitimate Democratically and   Constitutionally elected Government according to law."

>

PLEDGE

"I will give my loyalty to the United Republic   of Kivu and respect its rights and freedoms. I will uphold its democratic   values. I will observe its laws faithfully and fulfil my duties and   obligations as a Kivu citizen."

>

Privy Council of   the United Repulbic of Kivu

The United Republic Kivu Most Honourable Privy   Council is a body of advisors to the United Republic of Kivu President. The   Council is a powerful largely ceremonial institution. Most of its power is   held by one of its committees, the Cabinet. The Council also performs   judicial functions, which are for the most part delegated to the United   Republic of Kivu Law Society the Judicial Committee.

>

The President of the United Republic of Kivu, when   acting on the Council's advice, is known as the President-in-Council. The   members of the Council are collectively known as Regency Councillors of the   Most Honourable Privy Council.

>

OAT

“You do swear by Almighty God to be a true and   faithful Servant unto The lawfully elected President of the Untied Republic   of Kivu as one of His Excelency’s Privy Council. You will not know or   understand of any manner of thing to be attempted, done or spoken against the   Nation of Kivu or the President’s Person, Honour, Dignity, but you will   lett and withstand the same to the uttermost of your power, and either cause   it to be revealed to His Execelency Himself, or to such of His Privy Council   as shall advertise His Excelency of the same. You will in all things to be   moved, treated and debated in Council, faithfully and truly declare your Mind   and Opinion, according to your Heart and Conscience; and will keep secret all   matters committed and revealed unto you, or that shall be treated of secretly   in Council. And if any of the said Treaties or Counsels shall touch any of   the Counsellors you will not reveal it unto him but will keep the same until   such time as, by the consent of His Excelency or of the Council, Publication   shall be made thereof. You will to your uttermost bear Faith and Allegiance   to the United Republic of Kivu; and will assist and defend all Jurisdictions,   Pre-eminences, and Authorities, granted to His Excelency and annexed to the   Government by Acts of Parliament, or otherwise, against all Foreign Princes,   Persons, Prelates, States, or Potentates. And generally in all things you   will do as a faithful and true Servant ought to do to His Excelency. So help   you God.â€�

>


  > Both "Privy Counsellor" and "Privy Councillor" may   be correctly used to refer to a member of the Council. The former, however,   is preferred by the Privy Council Office. A Privy Counsellor is said to be   'sworn of' the Council when he/she first joins it.

>

Though the Privy Council as a whole is "The   Most Honourable", individual Privy Counsellors are entitled to the style   "The Right Honourable". For commoners, on the other hand, "The   Right Honourable" is sufficient identification of status as a Privy   Counsellor.

>

Privy Counsellors are entitled to positions in the   order of precedence. At the beginning of each new Parliament, members of the   House of Commons who are Privy Counsellors may take the oath of allegiance   before all other members except the Speaker and the Father of the House (the   most senior member of the House).

>

The Programme of   Government

The United   Republic of Kivu subscribes to the core values of Constitutional Democracy

Constitutional Democracy

>

The Ideological Foundations of State Administration   are those of a Constitutional Democracy both in values, principles and   policies:

>

INDIVIDUAL RIGHTS

>

- Life
  > - Liberty
  > - Freedom of press
  > - Freedom of speech

>

JUSTICE

>

- Due process
  > - Protection against unreasonable search and seizure
  > - Rule of law
  > - Right to a speedy public trial by a jury

>

THE COMMON GOOD

>

- Provide for safety and security
  > - Promote the general welfare

>

CONSTITUTIONAL GOVERNMENT

>

- Majorities have right to make political decisions
  > - Respect for differences
  > - Equal protection of the law
  > - Social equality
  > - Right to vote and seek office
  > - Equal employment opportunity
  > - Equal housing opportunity

>

Public Safety and Security

>

Without Safety and Security, good governance and the   provision of all political goods, is impossible.

>

Security refers to a nation-state’s monopoly of   violence. If there are insurgencies within the state, violence against the   government in power, or rebellions against authority, the nation-state is   neither safe nor secure for its people. Likewise, if the state is invaded   from outside or has porous borders, the government of the nation-state cannot   provide, as nation-states are mandated to do, a safe and secure environment   for the pursuit of individual or group free endeavours within the   nation-state.

>

Nor are the citizens of a modern nation-state safe   or secure if the government in power cannot guarantee their personal security.   Citizens demand to be free of mugging, car jacking, violent crime, and   homicide. Thus, personal security is the second major component of the   political good of safety and security. Countries with lower crime rates are   supplying greater quantities and qualities of the safety segment of the   political good of safety and security than those states where crime is   rampant.

>

The control of the Level of violent crime in the   streets.
  > Difficulty on the ease of access to small arms and light weapons and its   tight regulation.

>

National Defence and Security

>

To establish a disciplined and well-trained and   organized National Defence Forces.
  > To establish a well trained motivated Police Force to assure Public   Safety of all citizens.
  > Providing solutions to prevent armed conflicts.

>

Providing foreign Refugees and asylum seekers   originating from foreign countries a safe heaven, but only when in the best   interest of the Nation, and only when genuine political refugees.

>

Rule of Law, Transparency and Corruption

>

Governments and governance cannot exist or function   without the political good called Rule of Law. Such a designation refers to   Common Law or to a codified, transparent method of adjudicating personal   disputes of all kinds, formal and informal contractual obligations, and   disputes between citizens and the nation-state, without resort to violence.   Thus, nation-states with enforceable codes of law, nation-states that have   adhered to international conventions and legal obligations, and nation-states   with judicial mechanisms free of state control have stronger rule of law   regimes and supply larger amounts of the political good of Rule of Law.

>

Ratification of all Critical Legal Norms
  > Judicial Independence and Efficiency of the Courts of Law
  > Eradication of Corruption

>

As the term “rule of lawâ€� highlights “the idea of laws enacted - laid down,   legislated - by an authoritative body.â€� The protection of the citizen’s basic human rights and upheld the   basic principles of democracy.

>

To promote the ratification of all Critical Legal   Norms.

>

To promote the ratification of core international   human rights conventions.

>

To assist in the implement of economic and political   sanctions in those countries where there are known human rights violations.

>

To allow the draft of Laws on contracts and property   rights and other important areas for which clear legal norms are key to the   development of the economy.

>

To assure the Existence of an Independent and   Efficient Judicial System.

>

To assure the Existence of the Judicial   independence, based on the rule of law.

>

To assure the independence and Efficiency of the   courts in all matters pertaining to legal justice.

>

To assure the Efficiency of national institutions   regarding contract enforcement, Doing Business measures the efficiency (in   days) of “contract enforcement following the evolution of a sale of goods   dispute and tracking the time involved from the moment the plaintiff files   the lawsuit until actual payment.â€�

>

Corruption

>

To eradicate corruption in the Government and Public   sector.

>

Citizens Participation and Human Rights

>

To promote the political good of political freedom   has an essential tool to good governance. It includes Participation—the   ability to contest elections freely; Respect for Basic Human Rights—all of   the essential liberties and rights; and the Absence of Gender Discrimination.

>

To prevent discrimination, such as discrimination   against ethnic groups and religious minorities (including ethnic) conflict.   Without these components of political freedom, many other political goods   that collectively compose good governance are difficult to exercise.

>

The Free and spontaneous Participation of each   Citizens in the public and political life of the Nation.

>

To allow for Competitive Executive Elections, based   on whether independent observer missions judge national elections to be   “free and fair.â€�

>

Participation of main opposition candidates in   Executive Elections.

>

Competitive Legislative Elections, based on whether   official independent observer missions judge national elections to be “free   and fair.â€�

>

Participation of main opposition candidates in   legislative elections.

>

Respect for Civil and Political Rights of each State   Citizens.

>

Respect for physical rights (absence of extra   judicial killing, disappearances, torture, and political imprisonment).

>

Respect for civil rights (freedom of movement,   political participation, worker's rights, freedom of speech, and freedom of   religion).

>

To assure Press freedom at the most basic level.

>

To assure Absence of Gender Discrimination.

>

To advance Women’s Economic Rights.

>

To promote Women’s Political Rights.

>

To progress Women’s Social Rights.

>

Sustainable Economic Opportunity

>

To create and maintain Sustainable Economic   Opportunities is an essential political good. Well-governed nation-states   enable their citizens to pursue personal entrepreneurial goals and   potentially prosper. They do so by providing regulatory frameworks conducive   to such prosperity and by creating stable and forward-looking macroeconomic   and fiscal policy environments that facilitate and encourage national and   personal wealth creation. Arteries of commerce—a robust physical   communications and transportation infrastructure—are also critical to the   achievement of these national and personal objectives. Significant, too, is   the extent to which African countries are safeguarding their environments.   Doing so assists in sustaining economic opportunity. In order to measure the   extent to which nation-states are providing this essential political good and   its components.

>

To incentive Wealth Creation.

>

To monitor and maintain in a prosper level the GDP   per capita.

>

To allow for Local and National Economic growth.

>

To allow and maintain Macroeconomic Stability and   Financial Integrity.

>

To implement the necessary financial mechanisms of   good economical governance and responsible control of the annual inflation   rates.

>

To control and account for Government budget   deficits and surpluses as a percentage of GDP.

>

To establish the Reliability of financial   institutions and monitor the overall local and national business environment.

>

Taxes

>

Lower taxes benefit all citizens, creating jobs and   allowing citizens to make more decisions for themselves about their lives.

>

Lower taxes allow more spending, saving, and   investing which helps the economy - that means all citizens.

>

The economy and independence as a nation is   increasingly in the hands of foreign governments such as the Communist and   totalitarian regime of the Peoples Republic of China, this musty be brought   to a full stop.

>

Corporate ethics

>

The bottom line for corporations is making a profit.   Self-interest is a reliable motivator, and when it can be channelled in   positive ways, society benefits. This positive channelling will occur only if   corporate behaviour is constrained by ethical principles.

>

In the economic realm, as in all areas of life,   self-interest must be balanced with responsibility for others. Experience   shows that many businesses will operate in a responsible manner only if they   are subjected to clear regulations and careful scrutiny.

>

Many business people are very conscientious, and   attempt to function in socially responsible ways. Sometimes they are   successful. However, in the absence of appropriate regulations, businesses that   do attempt to operate in a responsible manner sometimes find they simply   cannot compete with their less scrupulous competitors.

>

For businesses to be able to function in responsible   ways requires attention to the “rules of the gameâ€� within which competition must take place.

>

Arteries of Commerce

>

The density of a nation’s road network (both paved   and unpaved) per square kilometre of national land.

>

The supply, availability, reliability and access of   electricity to the population.

>

The development of each African nation   infrastructures of Land Line and Mobile (cellular) telephone network.   Promoting and allowing free access to the Internet and promote the access to   Computers.

>

Environmental Sensitivity

>

Environmental health, air quality, water resources,   productive natural resources, biodiversity and habitat, and sustainable   energy. Reduction of environmental stresses on human health and promotion of   ecosystem vitality and natural resource management.

>

Human Development

>

Governments are charged by their constituents with   supplying the political good of effective human development. Everywhere,   especially in Africa, citizens expect their governments to provide   opportunities for educational advancement, health care and medical and   sanitary services, and poverty mitigation and alleviation.
  > The Federation of African Free States is determined to assist and help   its affiliated Sovereign Nation States to eradicate National Poverty; the   percent of all nationals live on less than US$1 day (the globally recognized   poverty figure).
  > To implement the mechanisms that permits and allows a fair an equal   national distribution of income.

>

Publicly Funded Health Care

>

Publicly funded health care financed entirely or in   majority part by citizens' tax payments.

>

Health Outcomes:
  > To improve the Life expectancy at birth.
  > To prevent Infant mortality.
  > To prevent Maternal mortality.

>

To tackle Undernourishment in Africa to eradicate   the percentage of the population whose food intake is below the minimum   dietary energy requirements.
  > To increase the percentage of children immunized against measles.

>

To increase the percentage of children; aged 12-23   months immunized against diphtheria, pertussis (whooping cough), and tetanus   (DPT).
  > To provide treatment to people living with HIV, by using traditional methods   and new discovery treatments.
  > To control and treatment for all TB cases (incidence).
  > To provide to all African Citizens Access to qualified physicians: and   increase the density of physicians per 1000 people.
  > To provide to all African Citizens Access to trained nurses: and   increase density of nurses per 1000 people
  > To establish an infrastructure that will enable the total of the   population with access to potable water.

>

Educational Opportunity

>

To establish and maintain a high level of Adult   literacy.

>

To establish and maintain a high level of Adult   literacy among women, men and children.

>

To establish and maintain a high level of Primary   school completion rate (the percentage of school-aged children who complete   the last year of primary school)
  > To establish and maintain a high level of Primary school completion rate   among girls.

>

To establish and maintain a high level of   Pupil/Teacher ratio in primary schools.

>

To establish and maintain a high level of   Persistence: Progression of all students from primary to secondary school.

>

Social Security

>

The establishment of a fully working African Social   Welfare Service concerned with social protection, or protection against   socially recognized conditions, including poverty, old age, disability,   unemployment and others.

>

1. Social insurance, where people receive benefits   or services in recognition of contributions to an insurance scheme. These   services will include provision for retirement pensions, disability   insurance, survivor benefits and unemployment insurance.
  > 2. Income maintenance; distribution of cash in the event of interruption   of employment, including retirement, disability and unemployment.
  > 3. Basic General Security, African citizens access to basic necessities;   such as food, clothing, shelter, education and medical care.

>

African Independence and Sovereignty

>

So called free trade deals and world governmental   organizations are a threat to independence as nations. They transfer power   from our African governments to unelected foreign elites, such as the   Communist Peoples Republic of China.

>

Withdrawal from all and any organizations and trade   deals that infringe upon the freedom and independence of the African States.

>

UNITED KIVU GENERAL LINKS

                                                                                                           
   

United Republic of Kivu

   
   

Images of United Kivu II

   
   

Images of United Kivu III

   
   

Images of United Kivu I

   
   

KIVU NATIONAL BANK

   
   

Images of United Kivu IV

   
   

Berlin Conference of 1884-1885

   
   

KIVU COFFEE

   
   

KIVU MINING

   
   

United Kivu Political Status

   
   

KIVU FISHERIES

   
   

KIVU PALM OIL

   
   

United Republic of Kivu

   
   

KIVU METHANE GAS EXTRACTION

   
   

VIDEOS

   
   

Investment in United Republic     of Kivu

   

>

   
   

Invest in Kivu

   
   

History of the Kivu     Chief-Kingdoms

   

GOVERNMENT INFORMATION

                                                                                                                             
   

CONSTITUTION

   
   

Private Property Rights     Protection

   
   

LA VISION DE L’AVENIR DU KIVU UNIFIE

   
   

DECLARATION OF INDEPENDENCE

   
   

Kivu National Investment Policy

   
   

VISION OF A UNITED KIVU

   
   

TABLE RONDE GOMA

   
   

Kivu Registry Act

   
   

KIVU MINING ACT

   
   

GOVERNMENT CABINET OF UNITED KIVU

   
   

Massacre of Kivu Population in the
    >     South Kivu 26 and 27 May 2007

   
   

KIVU NATIONAL BANK

   
   

Letter to oppressing     Foreign Forces

   
    

Kivu Postal Stamps

   
   
   

>

>

>

>

FFSA

Federation of the   Free States of Africa

MENU - INDEX

Contact

Secretary   General
  > Mangovo Ngoyo

Email: http://fr.mc288.mail.yahoo.com/mc/compose?to=africa.federation@gmail.com

http://www.africafederation.net/

 

Publicité
Commentaires
G
Kinshasa nous a longtemps sacrifié: Pas d'eau à l'Est, pas de courant, pas de gratuité scolaire primaire, les massacres non maitrisées, pas de routes ...et pourtant nous payons beaucoup de taxes et impots.Si nous avions notre république toutes ces ressources developperaient notre Kivu tant oublié. A quoi bon d'appartenir à in grand Congo qui ne nous set pratiquement à rien sauf les massacres et la misere? Vive la RUK!!! A quand la RUK? jE SOUTIENS LA ruk!!!
P
Itasaidia kuleta utulivu na amani.
G
je ne crois pas en ce que vous pensez faire. vous en avez pas les moyens tout comme vos frères katangais qui ne font que rever à l'iréalisme. la RDC restera uni et indivisible dans ses frontières de 1960. vous revez tous.Le Seigneur Jésus Christ va meme revenir et nous touvera tous attaché au Congo kinshasa. je n'en crois pas à votre reve.car l'occasion a été celle par le M23 quand ils ont envahi GOMA et ppromettaient de prendre Bukavu. Vous en etes pas capable.
Publicité
Archives
Publicité